MADAKTARI 8 WAKO CHINI YA ULINZI KUFUATIA TUKIO LA KUTUPWA KWA VIUNGO VYA BINADAMU


Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. 
 Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo
 
Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.BOFYA INGIA HAPA KUONA TUKIO HILO.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List