Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bagamoyo ABDU ZAHORO SHARIF afutulisha Bagamoyo

Mwenyekiti wa Mjimdogo wa Bagamoyo Mhe Abduri Zahoro Sharifu pia mwekiti wa Junuhiya ya Wazazi Ccm wilaya ya Bagamoyo amefutulisha zaidi ya watu wapatao 300 Nyumbani kwake jana ni mmoja ya kufata maadiri ya mwenyezi Mungu kujumuika na watu mbalimbali kula pamo Masikini wa Kipato,Watoto Yatima,Wajane pamoja na watu mashughuli.

Mhe Sharifu ametoa wito kwa jamii kuwajli na kuwapenda watoto Yatima pia kutogawana mali za watoto wanapofiwa na wazazi wao,huku wakiwaacha watoto hao kuishi kwenye mazingira magumu, pia awataka Wabunge wa Katiba Mpya warudi Bungeni kutekeleza majukumu waliyotumwa na Wananchi,amesema marumbano hayataleta tija ya kupata Katiba Mpya.

Naye Shekhe wa Wilaya ya Bagamoyo ...Ramia amewataka jamii imrudie Mwenyezi Mungu waachane na vitendo vya mauwaji ya Kinyama yanaotokea kila wakati nchini yanayotokana na Wivu wa Kimapenzi pia Mabomu yanayorupuliwa mara kwa mara yanaharibu historia ya Taifa amani iliyokuwepo kutoweka pia Maadiri ya Mwenyezi Mungu inapinga kufanya maswala ya Mauwaji ,Unyanyasaji watu wote ni ndugu moja wanatakiwa kupendana na Kushirikiana pamoja.

Hayo yamesemwa wakati wa kufutulisha watu mbalimbali Nyumbani kwa Mhe Abdul Zahoro Sharifu wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani

                            
                                     Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bagamoyo ABDU ZAHORO SHARIF

shekhe Ramia wa wilaya ya Bagamoyo

 Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bagamoyo ABDU ZAHORO SHARIF

Watu wakijandaa na futali

Watu wakijandaa na futali

Watu wakifa futali iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bagamoyo ABDU ZAHORO SHARIF


Wat wakifa futali iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Mji Mdogo ABDU ZAHORO SHARIF

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List