JESHI LA POLISI LATAWANYA MAANDAMANOYA CHADEMA
mfuasi wa chadema bawacha akitolewa njee na polisi kutokana na kuandamana kwenda ikulu kuhusu kumta atie saini rasim mpya |
mfuasi wa chadema akikamatwa na jeshi la polisihuku akipata kipigo |
mwenyekiti wa Bawacha Halima Mdee akipata kipigo na polisi baada ya kuandamana na kuelekea ikulu na kushindwa kufanya zoezi hilo na kuishia katika mikono ya polis |
0 comments:
Chapisha Maoni