MABONDIA WALIVYO CHAPANA KIN'GONGO KIMARA


 Bondia Stevin Kobelo kushoto akioneshana umwamba na Ally Jaka wakati wa mpambano wao uliofanyika kimara king'ongo Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita Kobelo alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
 Bondia Julius Kisalawe kushoto akipambana na Issa Mangweni wakati wa mpambano wao Kisalawe alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
Bondia Azizi Abdallah kulia akipokea DVD ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kutoka kwa Katibu wa Afya na mazingira katika kata ya kin'gongo Yusuph Malipula picha na SUPER D BLOG
Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List