WAZEE WA CCM WAMEOMBWA KULINDA MISINGI ILIYOACHWA NA MWALIMU JULIUS NYERERE

Wazee wa chama cha mapinduzi wametakiwa kuwa chachu ya upatikanaji wa viongozi mahiri wa chama kwenye ngazi mbalimbali,watakaoweza kwenda sambamba na sheria na kanuni za chama zilizowekwa na Muasisi wa Chama,Hayati  Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere.

Hayo yamesemwa kwenye mkutano wa wazee kupitia jumuiya ya wazazi kata ya Mwijuma na Makumbusho wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam,baada ya kubainika kwamba  maeneo mengi yanachukuliwa na wapinzani baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa ufasaha.

Mwenyekiti wa Ccm wilaya ya kinondoni Salum Madenge amesema Chama cha Mapinduzi Kinawategemea zaidi wazee katika kuhakikisha Chama kinapata viongozi bora na wenye Busara.
Mwenyekiti wa UWT kata ya Makumbusho Salama Chalembo amewakumbusha kuwa huu ni wakati wa kurudisha heshima ya chama,hasa wanapoelekea uchaguzi mkuu.


Baadhi ya wazee wa Jumuiya ya Wazazi kupitia Chama cha Mapinduzi waliohudhulia mkutano huo walizungumzia namna ya kutatua changamoto zilizopo.

                             
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya kinondoni Mh:SALUM MADENGE
Mwenyekiti wa wazazi kata ya Makumbusho Mh:SAID ABDALAH SUBETY

Mjumbe wa Mkutano wa wazazi akitoa mawazo

Mwenyekiti wa Wazazi Kata ya Makumbusho akihamasisha wazazi katika mkutano.

Baadhi ya Viongozi wa CCM kata ya Makumbusho.

Wanachama wa CCM wa jumuiya ya Wazazi wakifuatilia kwa makini.

Mwenyekiti wa Wazazi Kata ya Makumbusho akihamasisha wazazi katika mkutano.

Baadhi ya Viongozi wa CCM kata ya Makumbusho.

Wanachama wa CCM wa jumuiya ya Wazazi wakifuatilia kwa makini.

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List