Wizara ya elimu imeshauriwa kuangalia upya swala la kuandika Vitabu

Taasisi za elimu kunyimwa fursa za kuandika Vitabu vya  Kiada,vitakavyoweza kutumika kwenye shule za msingi na sekondari,kunatajwa kama miongoni mwa sababu kubwa zinazochangia ongezeko la kuporomoka kwa kiwango cha elimu nchini.

Kumekuwepo na tofauti kubwa ya viwango vya utoaji wa elimu wa ,huku moja ya sababu zake ikiwa ni tofauti ya uandikaji wa vitabu ,unaofanywa kwa kiasi kikubwa na waandishi  binafsi.

Mkurugenzi wa shule ya Sekondary ya Madiba  Joel Kajula amesema ipo haja kwa Wizara ya  elimu kuliangalia upya suala la kuziachia taasisi za elimu kuandika  Vitabu vinavyotumika kwenye mitaala ya Tanzania ,ili kutengeneza usawa kwenye utoaji wa elimu.

Mgeni rasmi kwenye mahafali haya ya nane secondary ya Madiba pia ikitimiza miaka kumi Dr Zacharia Kanyeka Mhadhiri  mwandamizi UDSM  amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii na kuachana na njia za mkato katika kutafuta elimu bora .

Baadhi ya wazazi waliohudhuria mahafari hayo pamoja na wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne Madiba wamezungumzia siri ya mafanikio ya shule hiyo.


Jumla ya wahitimu 39 wa kidato cha nne wavulana 18 na wasichana 21 wamehitimu kwenye Mahafali hayo ya 8 sekondary ya Madiba huku ikifikia miaka kumi tokaianzishwe huku ikiwa inarekodi ya kufanya vizuri.

wahitimu wa kidato cha nne  wa shule ya Sekondary ya Madiba

Mgeni rasmi Dr.ZACHARIA KANYEKA(Mhadhiri mwandamizi-UDSM)

Ndugu:JOEL KAJULA Mkurugenzi wa shule ya sekondari ya Madiba
Mwalimu mkuu wa shule ya Sekondary ya Madiba.

Meza kuu siku ya mahafali kidato cha nne shule ya Sekondary ya Madiba.
ndugu,BERDARD KINDOLI(mwenyekiti wa kamati ya shule)

Wazazi waliokuja kuudhulia mahafali ya kidato cha nne ya shule ya Sekondary ya Madiba.

Wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne ndani ya  shule ya Sekondary ya Madiba.

Wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne ndani ya  shule ya Sekondary ya Madiba.

Mmoja wa wazazi akitoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu.

Wanafunzi waliowahi kumaliza ndani ya  shule ya Sekondary ya Madiba

Wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne ndani ya  shule ya Sekondary ya Madiba wakiimba kwaya.

Majengo ya  shule ya Sekondary ya Madiba

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List