MSANII WA NIGERIA ATUWA NCHINI


 Msanii wa komedy kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vuvuzela Ltd, Evans Bukuku baada ya kumaliza mkutano wa waandishi wa Habari juzi Dar es Salaam. Msanii huyo alikuja nchini kufanya onesho maalum na wasanii wa komedy wa nchini mwishoni mwa wiki. Picha na Mpigapicha Wetu.
 Msanii wa komedy kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vuvuzela Ltd, Evans Bukuku baada ya kumaliza mkutano wa waandishi wa Habari juzi Dar es Salaam. Msanii huyo alikuja nchini kufanya onesho maalum na wasanii wa komedy wa nchini mwishoni mwa wiki. Picha na Mpigapicha Wetu.
Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List