Kwa habari za kila siku Soma gazeti la Jambo Leo kupitia website www.jamboleo.co.tz
Utajipatia habari mbalimbali ambazo zimetokea nyumbani Tanzania na
matukio mengine duniani,gazeti la Jambo Leo linatolewa na kampuni ya
Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha Jarida la Jambo Brand
Tanzania, gazeti la michezo la kila wiki, Staa Spoti na gazeti la
matangazo la Dar Metro linalotoka kila baada ya wiki mbili.
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni