NGUMI KUPIGWA IJUMAA YA TAREHE 19 UKUMBI VIGAE CLASSIC ZAKHEM MBAGALA


Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Shabani Adios 'Mwaya mwanya' katikati akiwangalia mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wanavyotunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC utakaofanyika leo ijumaa katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem Picha na SUPERDBOXING NEWS
Selemani Mkalakala akipima uzito
Mabondia Ibrahimu Maokola na Selemani Mkalakala wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC utakaofanyika ijumaa katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem
Picha na SUPERDBOXING NEWS


Bondia Ibrahimu Maokola akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa taifa na Selemani Mkalakala kushoto kulia ni Rais wa TPBC Chaurembo Palasa mpambano utakaofanyika ijumaa ya Desemba 19 katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem




Saleh Mkalekwa akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Abdalaaha Mohamedi mpambano utakaofanyika ijumaa ya Desemba 19 katika ukumbi wa Vigae classic Mbagala Zakhem
Dr Hesea Ronard akimpima afya bondia Ibrahimu Maokola kwa ajili ya mpambano wake wa kesho Ijumaa
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List