RAZA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA WILAYA ZA WETE NA CHAKE CHAKE


 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamad Mberwa akimkabidhi mipira Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Wete Nd. Kombo Hamad Khamis ikiwa ni miongoni mwa vifaa vya michezo vilivyotolewa na Mwanamichezo Maarufu Moh’d Raza Hassanali jana katika Maskani ya CCM ya Dr. Kikwete Chekea Mtambwe Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Mwanamichezo maarufu ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Moh’d Raza Hassanali, akimkabidhi  vifaa vya Michezo Katibu wa CCM Wilaya ya Chake chake Bi. Mafunda Khamis,  kwa niaba ya timu ya Soka ya CCM Wilaya hiyo. Hafla hiyo ilifanyika Mjini Chake chake Kisiwani Pemba, jana. Picha na Hassan Issa wa - ZNZ.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List