TIMU YA CHAMA CHA MAKIPA TANZANIA YAANZA KWA KUICHAPA YASWA FC 3-0



 Mchezaji wa timu ya Makipa wa Tanzania, ambaye ni kipa wa Simba, Ivo Mapunda (kushoto) akiwania mpira na beki wa Taswa fc, Martine, wakati wa mchezo wa kirafiki wa timu hizo uliochezwa jana jioni katika uwanja wa Bora Kijitonyama, maalum kwa ajili uzinduzi rasmi wa Chama cha makipa wa Tanzania. Katika mchezo huo Taswa fc ilifungwa mabao 3-0.
 Kipa wa Yanga, Deogratius Munisi, akijiandaa kupiga mpira huku akifuatwa na mchezaji wa Taswa fc, Moland.
 Mchezaji wa Taswa fc, Ibrahim Masoud (kushoto) akiwania mpira na Deogratius Munisi.
Hapiti mtu hapa.........
 Beki wa Taswa fc, Sweetbat Lukonge, akimdhibiti Shaban Kado......
 Heka heka langoni mwa Taswa fc
 Wakati wa mapumziko.......wachezaji wakipata mawaidha kwa mwalimu wao.....
 Mapumziko....
 Kikosi cha makipa.....
Mabeki wa Taswa fc, Sufianimafoto na Fredy Chuji 
, wakishow love baada ya mchezo huo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List