OMARI KIMWERI AMPIGA TAFU VIFAA KOCHA KINYOGOLI

Mwanasoka wa kike, Melanie Gines ambaye ni raia wa Hispania. kushoto akimkabidhi glove kocha mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini zilizotolewa nabondia Mtanzania anayefanya kazi zake nchini Deer Park, Victoria, Australia, Omari Kimweri kkatikati kwa kushirikiana na




Na Mwandishi Wetu



BONDIA Mtanzania anayefanya kazi zake nchini Deer Park, Victoria, Australia, Omari Kimwerimwishoni mwa wiki iliyopita kwa mara ya kwanza ali ongea na wapenzi wa mchezo wa masumbwi ambao walifulika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba jijini Dar es salaam

na kukabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi kwa kocha Habibu Kinyogoli kwa ajili ya kuendeleza mchezo wa masumbwi nchini baada ya kupokea msaada huo Kinyogoli alisema kuwa haya ni matunda yake japokuwa ni watu wachaxhe sana wanaokwenda nje ya nchi kuwakumbuka wenzao yeyey amewakumbuka wenzake kwa kuwa vifaa hivyo vitatumika na mabondia chipkizi

makabidhiano hayo yalifanyika wakati wa mpambano wa Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Bonge mpambano ambaso ulisha kwa K,O ya raundi ya kwanza baada ya bondia Bonge kupigwa ngumi kali na kwenda chini mara tatu kwa kila ngumi aliyokuwa akipigwa

baada ya ushindi huo Kimweri alimvalisha mkanda wa ubingwa wa taifa unaotambulika na chama cjha ngumi za kulipwa nchini P.S.T

kwa Mchumiatumbo baada ya kumgalagaza Bonge bila ya huruma katika mapambano mengine ya utangulizi bondia machachali Vicent Mbilinyi alimgalagaza bondia Khalidi Manjee bila ya huruma wakati Mussa Sunga alimchapa Makali Mawe kwa point
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List