Rais wa oganaizesheni ya ngumi za
kulipwa nchini TPBO Yassini Abdalla kushoto akisalimiana na bondia Wang
Xin Hua kutoka China mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano
wake na mohamed Matumla utakaofanyika march 27 katika ukumbi wa diamond
jubilee katikati ni Rais wa ngumi za kulipwa nchini PST Emanuel Mlundwa
na kulia ni promota wa mpambano uho Jay Msangi Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Wang
Xin Hua kutoka China akilakiwa na mwenyeji wake Rais wa ngumi za kulipwa nchini PST Emanuel Mlundwa
--
Super D Boxing Coach
Email.superdboxingcoach@gmail.com www.burudan.blogspot.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255713 406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania |
Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict:
Version Conflict: Version Conflict: PAPA FRANSISCO AMEFARIKI DUNIA
-
BREAKING NEWS:
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Pumzika kwa amani 1936-2025.
Dakika 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni