Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Viungo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia
Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi..
MHE.ASHA BARAKA,ALLY CHOKI,MANGUNGU WASIKITISHWA NA KIFO CHA EMMANUEL MACHA
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Asha Baraka jana alikua miongoni mwa watu mashuhuri waliojitokeza kwenye
ma...
Saa 20 zilizopita

0 comments:
Chapisha Maoni