Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Viungo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia
Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi..
KAMISHNA WA MADINI AONGOZA KIKAO CHA WATAALAMU WA UTAFITI
-
Kamishna wa Madini, Dkt. AbdulRahman Mwanga, ameongoza kikao muhimu cha
kitaalamu kati ya Wizara ya Madini, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa
Madini Ta...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni