Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Viungo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia
Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi..
NIMERIDHISHWA NA MAANDALIZI KUELEKEA KUWASHWA KWA MWENGE WA UHURU - MAJALIWA
-
WaziriMkuuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi
kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka katika
Mikoa 31...
Saa 19 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni