Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za
mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba mbunge wa jimbo la
Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam
leo.Kapteni Komba anatarajiwa kuzikwa kijijini Kwake Lituhi wilaya ya
Nyasa Mkoani Ruvuma. Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za
mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba mbunge wa jimbo la
Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam
leo.Kapteni Komba anatarajiwa kuzikwa kijijini Kwake Lituhi wilaya ya
Nyasa Mkoani Ruvuma. .Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimfariji mjane
wa marehemu Salome Komba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo(picha na Freddy Maro)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni