Hamad Rashid ,mwezi may mwaka huu wakati akiliaga bunge aliweka bayana nia yake ya kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hiko visiwani zanzibar |
Kwa upande wake mwenyekiti wa ADC Taifa Said Miraaj Abdulla amewasihi watanzania kujiandikisha katika daftar la kudumu la kupiga kura ili wachague viongozi watakao waletea maendeleo |
0 comments:
Chapisha Maoni