Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo ametoa ahadi ya kuboresha biashara ya bodaboda ikiwa atapatiwa nafasi ya kuwa Mbunge.
Mgombea huyo ameonyesha mapenzi yake kwa wafanyabiashara hiyo na kutoa ahadi ya kuwapatia mikopo kwa vikundi hivyo vya Bodaboda na kuwasimamia wasipate kero ya kuendesha shughuli zao.
Pia Katika Hali ya kufurahisha Mgombea ametoa ahadi ya kila kata kupewa millioni kumi ili kwa ajili ya kuanzisha vikundi vya kukopeshana ili kutoa tatizo la umaskini Tanzania.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni