Wananchi wapata Kipigo kutoka kwa Jeshi la Polisi Kikosi cha kutuliza ghasia na Mgambo Wilaya ya Bagamoyo kata ya Zinga mkoa Pwani, Askari hao wakiwa na Silaha za Moto na Mabomu ya Machozi huku wakitoa adhabu kwa wananchi na Waandishi wa habari waliofika katika eneo hilo

Wandishi wa habari hao walijikuta wskiwa katika wakati mgumu. Baada ya kuchukuliwa Camera na kuamiliwa kukaa chini ya pamoja na Wananchi Waliokuwa wakipewa adhabu na Kipigo. Ndipo walipompigia simu Rpc wa Pwani naye alitowa ushirikiano bora kwa Wandishi wa Habari kwa kiwasiliana na Askari hao na kuamuliwa warudishe Camera na kuendelea luchukua matukio

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List