Wandishi wa habari hao walijikuta wskiwa katika wakati mgumu. Baada ya kuchukuliwa Camera na kuamiliwa kukaa chini ya pamoja na Wananchi Waliokuwa wakipewa adhabu na Kipigo. Ndipo walipompigia simu Rpc wa Pwani naye alitowa ushirikiano bora kwa Wandishi wa Habari kwa kiwasiliana na Askari hao na kuamuliwa warudishe Camera na kuendelea luchukua matukio
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni