Wandishi wa habari hao walijikuta wskiwa katika wakati mgumu. Baada ya kuchukuliwa Camera na kuamiliwa kukaa chini ya pamoja na Wananchi Waliokuwa wakipewa adhabu na Kipigo. Ndipo walipompigia simu Rpc wa Pwani naye alitowa ushirikiano bora kwa Wandishi wa Habari kwa kiwasiliana na Askari hao na kuamuliwa warudishe Camera na kuendelea luchukua matukio
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni