Wandishi wa habari hao walijikuta wskiwa katika wakati mgumu. Baada ya kuchukuliwa Camera na kuamiliwa kukaa chini ya pamoja na Wananchi Waliokuwa wakipewa adhabu na Kipigo. Ndipo walipompigia simu Rpc wa Pwani naye alitowa ushirikiano bora kwa Wandishi wa Habari kwa kiwasiliana na Askari hao na kuamuliwa warudishe Camera na kuendelea luchukua matukio
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KUWASHA MWENGE YAMEPAMBA MOTO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari akizungumza na Waandishi hawapo
picha.
MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa wito kwa wakaazi wa ...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni