Wananchi wa Kata ya Sandali Wilaya ya Temeke Jijini Dar es salaam wameilalamikia Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA kwa kubadilisha Sheria ya Mwaka 1975 ambayo ilikuwa inawataka Wananchi wasijenge nyumba za makazi ndani ya Mita 30 kutoka eneo la Reli Wananchi hao wamesema baada ya sheria hiyo kubadilishwa sasa inawataka wasijenge ndani ya Mita 50 kutoka eneo la Reli ambapo inazilazimu jumla ya nyumba 195 kubomomolewa bila kulipa fidia Diwani wa kata ya Sandali Wilibard Abel Tarimo ameiomba Serikali kusikia kilio cha Wananchi hao kwa kuwa Sheria mpya ya mwaka 1995 inawanyima haki zao Wananchi wa kata hiyo ambao wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 12,hata hivyo Sheria ya Ardhi nchini inasema mtu aliyejenga na kukaa zaidi ya miaka 12 bila kupewa notice hanaki na eneo hilo unapomuhamisha anahaki ya kulipwa fidia Wananchi hao wameelekeza kilio Chao kwa Rais wa awamu ya Tano Mhe John Pombe Magufuli ili awasaidie kupata haki zao kwa madai kuwa wapo hapo tangu enzi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere na kusema Wazazi wao ndio walioshiriki kujenga Reli hiyo pia ndio Walinzi wa Miundombinu ya Reli baada ya kujenga Nyumba zao pembezoni mwa Reli ya Tazara na kuacha Mita 30 zilizowekwa na Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA
Mwandishi wa Mtandao huu Sdm Production Media ikamtafuta Mhandisi wa Ukaguzi wa TAZARA Richard Festo ambaye amekiri kuwepo kwa Sheria mbili ya mwaka 1975 na 1995 ambayo inatumika sasa hata hivyo amewataka walalamikaji kuendelea kuyatunza maeneo ya Reli wakati wakiangalia jinsi ya kuwapatia haki zao.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni