Asilimia 50 ya bidhaa zinazouzwa nchini imebanika ni bidhaa bandia kutoka nje ya nchi Utafiti uliotolewa na Shirikisho la Viwanda Tanzania Cti unaonyesha bidhaa hizo ni Vyakula, dawa, vinywaji, pembejeo za kilimo na vifaa vya maofisini. Taarifa ya Utafiti imetolewa katika warsha iliyowashirikisha wadau mbalimbali jijini Dar es salaam, mtaalam wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof Prosper Ngowi mdau wa Uchumi na Evarist Maembei Kansela cti
DC MPOGOLO: JMAT SAIDIENI SERIKALI KUSULUHUSHA MIGOGORO YA ARDHI KWA JAMII
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameitaka Jumuiya ya Maridhiano na
Amani Tanzania (JMAT)kwenda kushughulikia changamoto za kijamii kuisaidia
Seri...
Saa 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni