Halmashauri ya Wilaya ya Temeke imevunja Baraza la Madiwani baada ya kupatikana kwa wilaya nyingine mpya ya Kigamboni na kupeleka kugawana Mali katika Halmashauri hizo mbili ya Temeke na Kigamboni. Mkuu wa Wilaya Mpya ya Kigamboni Hashim Mgandila amewataka Watumishi wa Serikali pamoja na Madiwani wafanye kazi kwa uadilifu. Katika mgawanyiko wa mali hizo Manispaa ya imetengewa Shilingi Bilioni 42 huku Manispaa ya Kigamboni ikitengewa Shilingi Bilioni 8 ambapo bajeti yake jumla ya Shilingi Bilioni 50
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni