MANISPAA YA TEMEKE NA KIGAMBONI WAVUNJA BARAZA LA MADIWANI NA KUGAWANI MALI NA MAJUKUMU

Halmashauri ya Wilaya ya Temeke imevunja Baraza la Madiwani baada ya kupatikana kwa wilaya nyingine mpya ya Kigamboni na kupeleka kugawana Mali katika Halmashauri hizo mbili ya Temeke na Kigamboni. Mkuu wa Wilaya Mpya ya Kigamboni Hashim Mgandila amewataka Watumishi wa Serikali pamoja na Madiwani wafanye kazi kwa uadilifu.  Katika mgawanyiko  wa mali hizo Manispaa ya imetengewa Shilingi Bilioni 42 huku Manispaa ya Kigamboni ikitengewa Shilingi Bilioni 8 ambapo bajeti yake jumla ya Shilingi Bilioni 50

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List