Halmashauri ya Wilaya ya Temeke imevunja Baraza la Madiwani baada ya kupatikana kwa wilaya nyingine mpya ya Kigamboni na kupeleka kugawana Mali katika Halmashauri hizo mbili ya Temeke na Kigamboni. Mkuu wa Wilaya Mpya ya Kigamboni Hashim Mgandila amewataka Watumishi wa Serikali pamoja na Madiwani wafanye kazi kwa uadilifu. Katika mgawanyiko wa mali hizo Manispaa ya imetengewa Shilingi Bilioni 42 huku Manispaa ya Kigamboni ikitengewa Shilingi Bilioni 8 ambapo bajeti yake jumla ya Shilingi Bilioni 50
NCAA YAENDELEA KUIMARISHA UTENDAJI WA WATUMISHI WAKE KUPITIA MAFUNZO YA
KIJESHI
-
Na Mwandishi wetu, Karatu
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imeendelea kuimarisha
utendaji kazi na uwajibikaji wa watumishi wa taasisi hiy...
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni