VIJANA WANAOSUBIRI AJIRA TANZANIA WAMUENZI BABA WA TAIFA WAKIWA NJIA PANDA.

Wakati Tanzania nzima inaazimisha siku ya kumbukumbuku ya Kifo cha mwalimu Nyerere,Vijana wameiomba Serikali kutoa tamko ya ni Lini hasa Ajira zitatoka wakilinganisha na enzi za mwalimu Nyerere ambako Wasomi Wanaomaliza Chuo walipatiwa Ajira mapema.Licha ya kuwa kulikuwa na Wasomi wachache Serikali pia ilikuwa inaandaa Meneo na sektaz a Vijana kwenda kufanya kazi.Wakizungumzia Suala la Elimu Vijana wametoa maoni kuwa Elimu ya kujitegemea iliyokuwa inatolewa kipindi cha utawala wa Baba wa Taifa Ingeboreshwa ili kukabilana na Changamoto za Mazingira na Soko la Ajira kuliko Elimu inayotolewa sasa ambayo inamfanya mwanafunzi awe Tegemezi na kazi za Maofisini tu.Wanafunzi hao  wamepanga kufanya kumbukumbu Ya Nyerere kwa Kuongea na Vyombo vya habari Juu ya tamko Rasmi juu ya Ajira za walimu na Watumishi wa Afya.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List