Conte: Chelsea ni timu tofauti sasa

Viongozi wa ligi kuu ya Uingereza wamesema Chelsea ni timu tofauti na ile ilioanza msimu,lakini ni sharti inyenyekee,mkufunzi wake Antonio Conte amesema.
Timu hiyo iliishinda Tottenham Hotspurs 2-1 katika uwanja wa Stamford Bridge hivyobasi kujipatia ushindi wao 7 mfulululizo.
Ushindi huo umeimarisha uongozi wa klabu hiyo katika kilele cha ligi.
Nadhani sasa tuna timu tofauti, tuna motisha tofauti, na ni muhimu kuendelea kuwa wanyenyekevu, alisema Conte.
Unaposhindwa debi muhimu,lazima ufurahie lazima tuendelee kufanya kazi.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List