Makamu wa rais mteule wa Marekani Mike Pence, amethibitisha kuwa Mitt Rombey anaweza kupewa wadhifa wa Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni.
Taarifa hiyo iliyotangazwa na kituo cha Fox News, inajiri baada ya rais Mteule Donald Trump kukutana na bwana Romney, mwanachama wa Republican ambaye alimkosoa wakati wa kampeni.
Kuna uvumi kuwa wadhifa huo ulizungumziwa wakati wa mkutano kati ya viongozi hao.
Hakuna hata mmoja kati yao alitoa taarifa za mkutano wao uliofanyika siku ya Jumamosi.
Mwezi machi wati wa mchujo, bwana Romney alisema kuwa Trump hana tajriba ya kuwa rais naye Trump akajibu kuwa Romney ni mgombea aliyeshindwa.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni