Wajasiliamali wadogo waiomba serikali kurahisisha mzunguko wa fedha ili waweze kujipatia kipato.Pia wameiomba serikali kuboresha mazingira ya kazi zao na miundombinu ili kujiongezea faida katika harakati zao.Wakiongea na MWANDISHI wa blog mafundi ujenzi na wajasiliamali wamesema kwamba hali ya maisha imekuwa ngumu kupitiliza kutokana na watu kutokujenga nyumba na wanunuzi wa bidhaa kutoonekana na kusababisha kuyumba kwa familia na hali ya maisha kutokuwa sawa kabisa.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni