Wajasiliamali wadogo waiomba Serikali kulegeza uzi.

Wajasiliamali wadogo waiomba serikali kurahisisha mzunguko wa fedha ili waweze kujipatia kipato.Pia wameiomba serikali kuboresha mazingira ya kazi zao na miundombinu ili kujiongezea faida katika harakati zao.Wakiongea na MWANDISHI wa blog mafundi ujenzi na wajasiliamali wamesema kwamba hali ya maisha imekuwa ngumu kupitiliza kutokana na watu kutokujenga nyumba na wanunuzi wa bidhaa kutoonekana na kusababisha kuyumba kwa familia na hali ya maisha kutokuwa sawa kabisa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List