Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
MASHABIKI WA TAIFA STARS WAKINGIA KUTOA HAMASA KWA MKAPA
-
Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa
miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar
es...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni