WEMA AHAMIA RASMI CHADEMA

Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List