Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
NGORONGORO YANADI UTALII MKUTANO WA MAHAKIMU NA MAJAJI DODOMA
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki mkutano mkuu wa Chama
cha Mahakimu na Majaji Tanzania kwa lengo la kunadi ...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni