Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni