"Mimi kama mwanasiasa ukiona mtu ambaye ni adui yako umefanya jambo akakusifia ujue lipo tatizo, ila ukiona umefanya jambo adui yako akasema umekosea maana yake umepatia sana.
"Mimi naomba nimpongeze Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyofanya na niwaambie waheshimiwa wabunge, duniani kote 'Extractive Industries' inaenda kubadilika atakaye kuwa kwenye historia ya kubadilisha Extractive Industries ni Rais Magufuli.
"Leo duniani kote kila kwenye migodi mambo yatabadilika kwa sababu ya Magufuli amefungua milango, niwaambieni watanzania tusiogope kwenye hili lazima tuwe nyuma ya Rais tumuunge mkono aendelee na nina hakika wawekezaji watakuja mezani."
Mheshimiwa Peter Serukamba
Mbunge wa Kigoma Vijijini (CCM)
KAMISHNA WA MADINI AONGOZA KIKAO CHA WATAALAMU WA UTAFITI
-
Kamishna wa Madini, Dkt. AbdulRahman Mwanga, ameongoza kikao muhimu cha
kitaalamu kati ya Wizara ya Madini, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa
Madini Ta...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni