Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo tarehe 25/07/2017 amekamilisha ziara yake ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma,Tabora na Singida.
Katika ziara yake Mhe. Magufuli amezindua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya wananchi ikiwemo kilometers 707 za Barabara, na kuwataka wananchi kutembea kifua mbele kwa kuwa fedha za ujenzi wa barabara hizo zimetokana na vyanzo vya ndani.
Kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu tumekuwekea waraka unaoelezea kwa kina mzunguko kamili wa Ziara ya Mhe. Rais.
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA TSH 1.7 BILIONI YAKAMATWA YAKITOROSHWA
UWANJA WA NDEGE MWANZA
-
▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na
Kikosi kazi Madini
▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusika...
Saa 13 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni