Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo tarehe 25/07/2017 amekamilisha ziara yake ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma,Tabora na Singida.
Katika ziara yake Mhe. Magufuli amezindua miradi mbalimbali ya Maendeleo ya wananchi ikiwemo kilometers 707 za Barabara, na kuwataka wananchi kutembea kifua mbele kwa kuwa fedha za ujenzi wa barabara hizo zimetokana na vyanzo vya ndani.
Kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu tumekuwekea waraka unaoelezea kwa kina mzunguko kamili wa Ziara ya Mhe. Rais.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni