Halmashauri ya manispaa ya temeke imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 26 kati ya bilioni 36 zilizokusudiwa ikiwa ni sawa na asilimia 85 ya makusanyo yaliyopangwa kufanyika katika kipindi cha bajeti ya mwaka 2016 na 2017. hayo yamesemwa na mstahiki meya wa manispaa ya Temeke Abdallah Chaurembo mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika jijini dar es salaam.
Mkuu wa wilaya ya temeke felix lyaniva amewataka madiwani hao kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa na kufikia malengo waliyojiwekea.
Baraza hilo limefanya uchaguzi wa kumchagua naibu meya pamoja na viongozi wa kamati sita zilizopo.
DKT.MPANGO AAHIDI TANZANIA KUKUZA UCHUMI NA HISPANIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
amesema Serikali ya Tanzania ipo tayari kufanya kazi kwa karibu na jumuiya
ya w...
Saa 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni