Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Yafikia asilimia 85 ya Makusanyo.

Halmashauri ya manispaa ya temeke imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 26 kati ya bilioni 36 zilizokusudiwa ikiwa ni sawa na asilimia 85 ya makusanyo yaliyopangwa kufanyika katika kipindi cha bajeti ya mwaka 2016 na 2017. hayo yamesemwa na  mstahiki meya wa manispaa ya  Temeke Abdallah Chaurembo mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika jijini dar es salaam.
Mkuu wa wilaya ya temeke felix lyaniva amewataka madiwani hao kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa na kufikia malengo waliyojiwekea.
Baraza hilo limefanya uchaguzi wa kumchagua naibu meya pamoja na viongozi wa kamati sita zilizopo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List