Halmashauri ya manispaa ya temeke imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 26 kati ya bilioni 36 zilizokusudiwa ikiwa ni sawa na asilimia 85 ya makusanyo yaliyopangwa kufanyika katika kipindi cha bajeti ya mwaka 2016 na 2017. hayo yamesemwa na mstahiki meya wa manispaa ya Temeke Abdallah Chaurembo mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika jijini dar es salaam.
Mkuu wa wilaya ya temeke felix lyaniva amewataka madiwani hao kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa na kufikia malengo waliyojiwekea.
Baraza hilo limefanya uchaguzi wa kumchagua naibu meya pamoja na viongozi wa kamati sita zilizopo.
WMA KIBAHA YAHAKIKI MITA ZA DAWASA NA TANESCO
-
Meneja wa Kituo cha Ukakiki wa Vipimo (WMA)kilichopo Misugusugu Kibaha
Mkoani Pwani Charles Mavunde.
WMA KIBAHA YAHAKIKI MITA ZA DAWASA ,TANESCO
Na K...
Saa 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni