Mali na Ghana zatinga kumi na sita bora

Wawakilishi wa Afrika katika michuano ya kombe la dunia la vijana la chini ya miaka 17 timu za Mali na Ghana zimetinga hatua ya kumi na sita bora ya michuano hiyo.
Mali walioko katika kundi B wamemaliza katika nafasi ya pili nyuma ya Paraguay kwa baada ya kuichapa Zew Zealand kwa mabao 3-1.
Ghana wakawaondosha wenyeji India, kwa kuwachapa kwa mabao 4-0, na hivyo Ghana kuongoza kundi A kwa Alama sita wakifuatiwa na Colombia.
Paraguay wakawachapa Uturuki kwa mabao 3-1 na Colombia wakaibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Marekani.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List