Klabu ya simba maarufu kama wekundu wa msimbazi imethibitisha kumteua kocha Hemed Suleiman maarufu kama morroco kuwa kocha wa muda wa klabu hiyo kuelekea machi za marudiano za kimataifa baada ya kuachana na kocha wake Fadlu Davids.
CHALINZE WAHAMASISHWA KUTUMIA VEMA TEHAMA
-
Mkurugenzi Msaidizi Sera Utafiti na Ubunifu TAMISEMI Lemmy Shumbusho
ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo ambao ni Viongozi Waandamizi na Wakuu
wa Ida...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni