MAONYESHO YA SABASABA YAFUNGWA RASMI

Serikali imewataka wafanyabiashara wa ndani wazidi kuwasiliana na wa nje ili kukuza soko la bidhaa la ndani na nje na kukuza uchumi wa taifa,lengo la maonyesho hayo ni kujifunza kwa wageni pamoja na kubadilishana mawazo,kuongeza hujuzi zaidi katika soko la ushindani la kimataifa,pamoja na kuwa wabunifu watanzania kutengeneza bidhaa zenye kiwango pamoja na ubora wa vifaa vya kisasa vyeye uimara na mvuto.
Maonyesho hayo yamekuwa ya kihistoria kwa kuwa Nchi 33 zimeshiriki ,makapuni 500. Hiyo imeonyesha wazi maonyesho hayo yamekubalika kuwa ni ya kimataifa ,hambapo watanzania wamepata fursa ya kujifunza Hayo yamesemwa wakati wa kufunga maonyesho ya biashara ya kimataifa katika viwanja vya mwalimu Julias Kambarage Nyerere sabasaba na Waziri wa Viwanda na Biashara Abdalah Kigoda wakati wa ufungaji wa maonyesho hayo.


                                     
                                               Waziri wa Viwanda na Biashara Abdalah Kigoda



Mkurugenzi wa Tan Trade...Bi;Jacqueline Mneney Maleko.amewataka wanafunzi wa vyuo watumie nafasi  hiyo ya maonyesho  kujifuza kwa kuona wageni waliofika kwenye maonyesho wengi wako kwenye sekta binafsi wamejiajiri pia ni wasomi kutoka kwenye nchi zao wamefika kuonyesha bidhaa zao mbalimbali walizotengeneza kwa kupitia makapuni yao.binafsi.wasomi wa ndani hivi sasa wasitegemee swala ya ajira kutoka serikalini peke yake hiyo ni changamoto ya kuzoleta kukua kwa uchumi hali hiyo imesababisha kufanya maisha duni kwa mtanzania,pia wajitume wasiige biashara moja ya kufanya kila mmoja watumie ubunifu wa kufanya biashara,pia waweze kulima kilimo cha umwagiliaji kitawanufaisha watanzania 

Waziri wa Viwanda na Biashara Abdalah Kigoda akitoa vyeti kwa wafanya biashara waliofanya vizuri



Watu wakifuatilia kwa makini ufungaji wa maonyesho
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List