TAKWIMU ZINAONYESHA MAAMBUKIZI YA UKWIMI YAMEPUNGUA TACAIDS soma zaidi

Wakati maonyesho yanaendelea,Ndani ya Banda la TACAIDS elimu imezidi kutolewa kuhusiana na Ugonjwa wa Ukimwi na magonjwa mengine ya ngono.Akiongea na mwandishi wa blog Mkulugenzi wa Tacaids amesema maambukizi ya ukimwi yamepungua kwa kiasi kikubwa Tanzania hii ni kutokana na elimu ya kutosha inayotolewa kuhusina na Ukimwi.karibu banda la TACAIDS sabasaba kupata habari zaidi

                            

mkurugenzi wa Tacaids Bi,Bengi Issa


mkurugenzi wakati akiongea na waandishi wa Habari
Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List