SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA




 Rais Jakaya Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi, wakati alipokuwa akiwasili kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania.
 Rais Jakaya Kikwete  akikagua gwaride.
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wa pili wa Rais wa Zanziba, Balozi Seif Idd, baada ya kuwasili uwanjani hapo.
 Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Dkt. Shein.
 Wimbo wa Taifa......
Sehemu ya wananchi waliojitokeza kuhudhuria sherehe hizo.
 Sehemu ya wageni waalikwa....
 Sehemu ya mabalozi kutoka nchi mbalimbali, waliohudhuria sherehe hizo kwenye uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List