![]() |
MGOMBEA URAIS ADC
-
Mbio za kuelekeza kwenye kinyang'anyio cha uchaguzi mkuu zinazidi kuendelea nchini ambapo makada watatu wa chama cha alliance democratic change-ADC wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho
0 comments:
Chapisha Maoni