SUMATRA NA MGOMO

Baraza la watumiaji wa huduma za usafiri
wa majini na nchi kavu SUMATRA -CCC,limeeleza dhamira yake ya kufungua kesi dhidi ya watoa huduma wa usafirishaji kwa mabasi yaendayo mikoani watakaogoma,kama shinikizo ,serikali kubadilisha uamuzi wake wa kupandisha ushuru wa mabasi kwa asilimia 25


Baraza hilo limesema ,ni haki kwa watoa huduma hao kuzungumza na serikali ,lakini umoja wao ujumikanao kama TABORA ,hauna mamlaka kisheria kuitisha mgomo






Tishio hili linakuja kabla watu hawajasahau machungu ya mgomo yaliyosababisha na madereva na kusababisha adha kubwa kwa watumia usafiri wa umma.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List