Rais Jakaya Kikwete amesema hakuana mgombea ama mwana siasa anayeweza kuwanunua watanzania wote,ili wamuunge mkono kwenye juhudi zake za kushika wadhifa anaowania huku wakimnadi mgombea wa chama cha mapinduzi.,Dkt John magufuli kuwa ni kiongozi mwenye uwezo na uzowefu mkubwa
Aidha Rais Kikwete amewetaka wana ccm kujitokeza kwa wingi kumpigia kura mgombea wao ili aweze kushinda na kuendeleza yale ambayo tayari serikali ya awamu ya nne ilioanza kuyatekeleza.
Alipokuwa akizungumza na wazee wa ccm wa mkoa wa dar es salaam rais Kikwete amesema wapo baadhi ya wana siasa wanaotanguliza fedha ili kuwanunua watanzania wawaunge mkono kwenye nafasi wanazogombea ambapo amesema hata wakifanya hivyobado hawatofanikiwa kuwanunua watanzania wote.
Mgombea wa Urais kpitia chama hicho Dkt John Pombe Magufuli aliyeambatana na Rais Kikwete yeye kwa upande wake pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kumpa furs hiyo huku akiwaidi kuongoza nchi kwa kuzingatia kwamba Tanzania ni Moja.
Rais kikwete aliongozana pia na Mgombea mweza wa Urais CCM Samia Suluhu,Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam Ramadhani Madabida na viongozi wengine wa Chama na Serikali na Lengo kubwa likiwa ni kuwaomba wazee hao kumuunga mkono mgombea wa sasa Dkt Magufuli katika safari yake.
Home / gloria media
/ BARAZA LA WAZEE MKOA WA DAR ES SALAAM WATOA BARAKA KWA DKT JOHN POMBE MAGUFULI
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni