Chama cha mapinduzi(CCM) mkoa wa dar es salaam kitazindua rasmi kampeni zake za kuelekea katika uchuguzi mkuu unaaotalajia kufanyika october 2015 mwaka huu.Kampeni hizo zitazinduliwa katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es salaam ambapo pia kitamnadi Mgombea wake wa Urais Dr John Pombe Magufuli.
Katibu wa siasa na uenezi mkoa wa Dar es salaam Juma Simba Gadafi anasema kampeni za chama hicho kwa upande wa Dar es salaam zitaendeshwa kistaarabu na kuwataka baadhi ya wakazi wa jiji hilo kuacha kuwatolea maneno yasiyofaa wafuasi wa chama hicho.
Aidha Juma Gadafi amesema kila mtu anayo haki ya kushabikia chama anachokipenda na kuongeza kuwa udhalilishwaji unaofanya na baadhi ya watu hauna manufaa.
Kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu zimeanza ambapo vyama mbalimbali vya siasa vinajinadi ili viweze kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu ambapo kwa Mkoa wa Dar es salaam pekee kuna Majimbo 10 na kata 102.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni