HAKI ZA BINADAMU KIPINDI CHA UCHAGUZI.

Tume ya haki za binadamu imeandaa chumba maalumu kitakokuwa kikipokea taarifa za zoezi la upigaji kura kutoka kila kituo nchini kote,ili kuhakikisha aliyejiandikisha atatumia haki yake ya msingi ya kuchagua kiongozi anayemtaka .

Aidha imesema itahakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru na wa haki kwa kutogubikwa na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu na kuhaidi kusimamia kila hatua ya zoezi hilo.

Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali kimejipanga kuhakikisha watanzania wanapata fursa ya kupiga kura kwa uhuru.

Mtandao wa TASEO utakao shiriki kwenye mchakato huo ,umeeleza kutambua vijana wengi watakao shiriki kwenye uchaguzi mkuu,hivyo kuona haja ya kuwashirikisha kikamirifu kwenye hatua hii ya kulinda kura zao.






Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List