Watanzania waendelea kutoa maoni juu ya viongozi wanaowataka

Baadhi ya waananchi wa jiji la dar es salaam wameendelea kutoa maoni yao kuhusu viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa waliojitokeza kuwania nafasi ya uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Wakizungumza na star tv wananchi hao wamesema huu ni wakati wa watanzania kuwa makini na ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea ambao wamekuwa wakitoa ahadi zisizotekelezeka hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.

Watanzania wanatarajia kufanya uchaguzi mkuu october mwaka huu huku wakitakiwa kutunza shahada zao za kupiga kura na wasikubali kurubuniwa kwa rushwa zitakazo wafanya kuchagua kiongozi asiye faa kwa jamii atakaye waongoza kwa kipindi cha miaka mitano.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List