Baadhi ya waananchi wa jiji la dar es salaam wameendelea kutoa maoni yao kuhusu viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa waliojitokeza kuwania nafasi ya uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Wakizungumza na star tv wananchi hao wamesema huu ni wakati wa watanzania kuwa makini na ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea ambao wamekuwa wakitoa ahadi zisizotekelezeka hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.
Watanzania wanatarajia kufanya uchaguzi mkuu october mwaka huu huku wakitakiwa kutunza shahada zao za kupiga kura na wasikubali kurubuniwa kwa rushwa zitakazo wafanya kuchagua kiongozi asiye faa kwa jamii atakaye waongoza kwa kipindi cha miaka mitano.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni