Chief Lutalosa amesema Tanzania inahitaji chama na mtu makini katika kuleta mabadiliko ya uchumi ambaye anaweza kukabiliana na maadui watatu Ujinga,Umaskini na Malazi.
Mgombea uraisi kupitia chama hicho zanzibar Hammd Rashid amesisitiza uwepo wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kuendelea kulinda amani Tanzania.
Vyama vilivyochukua fomu hadi kufikia ijumaa ni CHAUMA,CCM,TADEA na ADC
0 comments:
Chapisha Maoni