Wafanya biashara wa soko kuu la kariakoo jijini dar es salaam wameiomba serikali kuruhusu magari ya mizigo kufika katika soko hilo kwani wanaathirika kiuchumi kutokana na kukosekana kwa bidhaa.
Wafanya biashaa hao wamelalamikia Manispaa ya Ilala kwa kupandisha ada ya vibali na masharti ya muda wa kuingia katika soko hilo,Mambo ambayo yamesababisha wakulima kushindwa kufikisha bidhaa zao katika soko hilo,Na baadala yake kupeleka katika masoko mengine.
Meneja wa soko hilo Florens Saiya amesema licha ya changamoto kuwa nyingi katika eneo hilo la soko lakini mapato yamekuwa yakiongezeka na tatizo la kukatika umeme limepatiwa ufumbuzi kwa ununuzi wa jeneleta kubwa la kuzalisha nishati hiyo ya umeme.
Afisa Biashara wa manispaa ya Ilala hakupatikana kuzungumzia lalamiko hilo la wafanya biashara wa soko hilo.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni