Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es salaam wameendelea kutoa mani yao kuhusu viongozi mbalimbli wa vyama vya siasa waliojitokeza kuwania nafasi ya Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania.
Hata hivyo wanaabnchi hao wamekumbusha uongozi wa Baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere na kusema kuwa alikuwa kiongozi mwadilifu aliyechukia rushwa,ubinafsi,ukabila,udini na aliwafanya watanzania kuwa wamoja .
Wananchi hao wameendelea kulizungumzia pia suala la kuhama hama chama kama ni uchu wa madaraka kwa baadhi ya viongozi wanataka nafasi za juu katika nchi na wengineo wamesema suala hilo linatokana na viongozi wengi wa chama kukosa uhadilifu.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni