WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAMEENDELEA KUTOA MAONI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es salaam wameendelea kutoa mani yao kuhusu viongozi mbalimbli wa vyama vya siasa waliojitokeza kuwania nafasi ya Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania.

Hata hivyo wanaabnchi hao wamekumbusha uongozi wa Baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere na kusema kuwa alikuwa kiongozi mwadilifu aliyechukia rushwa,ubinafsi,ukabila,udini na aliwafanya watanzania kuwa wamoja .

Wananchi hao wameendelea kulizungumzia pia suala la kuhama hama chama kama ni uchu wa madaraka kwa baadhi ya viongozi wanataka nafasi za juu katika nchi na wengineo wamesema suala hilo linatokana na viongozi wengi wa chama kukosa uhadilifu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List