TAASISI YA ELIMU YAFUTA DARASA LA SABA

Taasisi ya elimu Tanzania (TET) imetangaza kupunguza idadi ya masomo kwa wanafunzi wa shule za msingi kutoka masomo kumi na moja hadi masomo nane kwa wanafunzi wa darasa la tatu hadi sita.kuanzia mwaka huu na kufuta Darasa la Saba.

Somo la hesabati na masomo ya lugha,Kiswahili na kiingeleza hayatafutwa aidha Taasisi hiyo imepanga utaratibu mpya wa kufuatilia mtaala wa masomo katika shule za msingi.

Kwa mujibu wa Tafiti zilizofanyika hapa nchini zimeonyesha kuwa wanafumnzi wengi wanaomaliza elimu ya msingi hawajui kusoma,kuandika na hesabu kwa darasa la saba.

Pia watachagua ambavyo vitakuwa vinafaa kulingana na mitaala iliyopangwa .
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List