Taasisi ya elimu Tanzania (TET) imetangaza kupunguza idadi ya masomo kwa wanafunzi wa shule za msingi kutoka masomo kumi na moja hadi masomo nane kwa wanafunzi wa darasa la tatu hadi sita.kuanzia mwaka huu na kufuta Darasa la Saba.
Somo la hesabati na masomo ya lugha,Kiswahili na kiingeleza hayatafutwa aidha Taasisi hiyo imepanga utaratibu mpya wa kufuatilia mtaala wa masomo katika shule za msingi.
Kwa mujibu wa Tafiti zilizofanyika hapa nchini zimeonyesha kuwa wanafumnzi wengi wanaomaliza elimu ya msingi hawajui kusoma,kuandika na hesabu kwa darasa la saba.
Pia watachagua ambavyo vitakuwa vinafaa kulingana na mitaala iliyopangwa .
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni