Wanawake wamelalamikia ubaguzi katika uteuzi wa wagombea kuwania nafasi mbalimbali za uongozi Tanzania.Wanawake hao wamelalamika katika mkutano wa wanawake kwamba vyama vyote vya siasa vimetoa fursa ndogo kwa wanawake nchini kushiriki katika uchaguzi huo.
Kwa upande wa CCM wanawake mamelalamikia kura za maoni kuwa zilitawaliwa na rushwa na vikao vya maamuzi vilishindwa kuwatetea wanawake walionyesha uwezo mzuri wa kisiasa na uongozi.
Kwa upande wa UKAWA wamelalamikia muungano huo kushindwa kutoa kabisa fursa kwa wanawake kutokana na utaratibu wa kugawanywa majimbo kwa vyama vinvyounda UKAWA,mfumo huo ambao umeonekana ni mbovu na kutoa fursa chache kwa wanawake,Pia wamelalamikia chama cha CUF kwa kushindwa kutoa fursa kwa wanawake .
Wanawake hao wamepaza sauti kwa upande wa Tanzania visiwani kwa kuonyesha mwitikio mdogo kwa wanawake walionyesha nia ya kuwa viongozi na kushauri mshikamano ili kumkomboa Mwanamke wa Tanzania.
Home / gloria media
/ Wanawake wamelalamikia ubaguzi katika uteuzi wa wagombea kuwania nafasi za ubunge na udiwani Tanzania.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni