Dk Ally Mohemedi Shein akizindua Mradi wa Umeme Kisiwani Pemba hivyo amewataka watumie vizuri umeme huo,Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar ZECO wametumia zaidi ya Bilioni moja gharama za mradi wa Umeme Kisiwa cha Panza na Kusiwa cha Makoongwe zaidi ya milioni mia nane vyote visiwa hivyo vipo ndani ya Kisiwa cha Pemba ambapo ameweza kutimiza ahadi yake aliyoweka wakati akiomba kura hawamu ya kwanza ya Urais wa Zanzibar
Dk Shein amewataka wananchi wa Visiwa hivyo watumie vizuri Umeme huo kwa kulipa gharama zinazoitajika baada ya matumizi,amesema jukumu la Serikali ilikuwa kazi yake kuleta Umeme suala na matumizi baada ya kutumia wananchi,gharama hizo watalipa kutokana na kila mmoja kutokana na matumizi yake.
Hata hivyo serikali lengo lake ni kuleta maendeleo kwa wananchi wote waishiyo katika visiwa hivyo,wameweza kuweka gharama ya kuunganishiwa kuweka Umeme kwenye nyumba za wananchi kwa gharama ndogo,pia asiyekuwa na uwezo kabisa atawekewa kwa mkopo na kulipa kwa hawamu tofauti kulingana na uwezo aliokuwa nao,bila kujali Itikadi ya vyama,Dini wala Kabila
Hassani Ally Mbarouk Meneja mkuu shirika la Umeme ZECO Zanzibar ametowa wito kwa wananchi kufanya matumizi sahihi ya Umeme kuwa wahaminifu pamoja na kulinda miundombinu ya Umeme iliyopita ndani ya Bahari,ili waweze kunufaika na Umeme huo kiuchumi.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni