Kampeni za uchaguzi Ccm za zinduliwa lasmi

Kampeni za uchaguzi Ccm zimezinduliwa lasm Leo wameuzuria Marais mbalimbali wa Tanzania bars na Zanzibar waliomaliza muda wao waliostafu wote wakiwa na nia ya kuwanadi wagombea wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar na. Tanzania bara siku ya Oktobar 25 wawapigie kura wagombea wa kutoka chama cha Mapinduzi Ccm hili waweze kuwaletea maendeleo ya uchumi has a katika  suala LA Mafuta na uchimbaji wa Gesi.                                   Dk Ally MOHAMEDI She in Rais wa Zanzibar aliyemaliza muda wake hawamu ya kwanza ,Ambaye anayetetea Kiti chake cha Urais kwa hawamu ya pili, Amewataka wananchi wa Zanzibar wachague tena hawamu ya pili Siku ya tar 25 Oktobar bila kujari  Itikadi ya vyama chama cha Ccm kinamisingi bora ya Usawa na amani, Pia kinazigatia suala zima LA Muungano wa Tanganyika na Zanzibar waendelee kuwa na IMANI na chama cha Mainduzi

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List