Kampeni za uchaguzi Ccm zimezinduliwa lasm Leo wameuzuria Marais mbalimbali wa Tanzania bars na Zanzibar waliomaliza muda wao waliostafu wote wakiwa na nia ya kuwanadi wagombea wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar na. Tanzania bara siku ya Oktobar 25 wawapigie kura wagombea wa kutoka chama cha Mapinduzi Ccm hili waweze kuwaletea maendeleo ya uchumi has a katika suala LA Mafuta na uchimbaji wa Gesi. Dk Ally MOHAMEDI She in Rais wa Zanzibar aliyemaliza muda wake hawamu ya kwanza ,Ambaye anayetetea Kiti chake cha Urais kwa hawamu ya pili, Amewataka wananchi wa Zanzibar wachague tena hawamu ya pili Siku ya tar 25 Oktobar bila kujari Itikadi ya vyama chama cha Ccm kinamisingi bora ya Usawa na amani, Pia kinazigatia suala zima LA Muungano wa Tanganyika na Zanzibar waendelee kuwa na IMANI na chama cha Mainduzi
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni