Zangina shanang zangina amesema alikuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwa muda mrefu katika nafasi mbalimbali lakini amedai akitumikia katika hali ya uvuilivu kutokana na baadhi ya viongozi wa ccm kuongoza kwa ubinafsi zangina asema baada ya kutangaza nia ya ubunge ccm ambapo jina lake lilikatwa katika kura Za maoni ndipo alipo alipohamua mahamuzi magumu na kuingia Chama cha act nakupata lidhaa ya kugombea ubunge jimbo LA ubungo amewataka wananchi ifikapo tar 25 oktobar 2015 wamchague atawaletea maendeleo ya uchumi afya elimu MAJI miundombinu barabara pamoja na huduma zote za jamii
KIKWETE: SERIKALI KUSAINI MUONGOZO WA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA KWA SEKTA
BINAFSI
-
Serikali imesema hivi karibuni inatarajia kusaini kuwa Sheria miongozo Wa
kima cha chini Cha mshahara kwa TaasisiI binafsi zinazofanywa kazi nchini.
Ime...
Saa 12 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni