Viongozi wa Kiroho nchini wamekumbushwa kuhubiri na kulinda Amani wakati huu taifa likielekea katika uchaguzi mkuu wa Urais ,Wabunge na Madiwani. Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Kanisa LA Ufunuo na Uzima,NABII Paul Bender's wakati akitoa maono yake kuhusu mwelekeo wa uchaguzi mkuu kwa nafasi ya Rais ,katika mkutano na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam. NABII Bendera amesema viongpzi wa Kiroho wametakiwa kuhubiri upendo ndani ya taifa na kulinda Amani ametumia nafasi ya kuzungumza na Waandishi wa habari
Kuwakumbusha jukumu lao, NABII Paul aliwahi kutoa maono ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na matokeo yakawa sahihi kwa Uhuru Kenyata kushinda uchaguzi huo na pia hivi karibuni aliwahi kutoa maono ya kuibuka vurugu za kisiasa na kufanyika mapinduzi yatakayoshinda nchini Burundi vurugu ambazo zilitokea na pia mapinduzi kushindws
Home / Uncategories / Nabii Paul Bendera amepata Maono kuwa Rais ajaye atatokana na chama cha Mapinduzi
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni