Mgombea Udiwani chama cha Mapinduzi kata ya kisarawe tuu jijini Dar es salaam Issa Zahoro amewataka watanzania wawe makini na kufanya uchaguzi sahihi Oktabar 25 mwaka huu kwa wawa chague wagombea wa chama cha mapinduzi. Asemema kuichagua Ccm in njia pekee ambayo itaweza kuifanya Tanzania kuendelea na amani iliyopo na kuwa hakuna chama kingine chenye Sera zinazotekelezeka zaidi ya chama cha Mapinduzi Zahoro amesema hakuna asiyefahamu CCM imefanikiwa kwa asilimia 87 kufanikiwa kuleta maendeleo ya taifa hili Kigamboni Kisarawe tuu imefanikiwa kupata maendeleo ikiwepo MAJI, Umeme, Barbara, Shule, na Zahanati, amewataka wananchi hao waendelee kuwachagua viongozi toka chama cha Mapinduzi hili waweze kuendeleza palipp baki
KIKWETE: SERIKALI KUSAINI MUONGOZO WA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA KWA SEKTA
BINAFSI
-
Serikali imesema hivi karibuni inatarajia kusaini kuwa Sheria miongozo Wa
kima cha chini Cha mshahara kwa TaasisiI binafsi zinazofanywa kazi nchini.
Ime...
Saa 20 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni